Follow us:
The Revolutionary Government of Zanzibar

Ministry Of Trade and Industrial Development Zanzibar

Events
11th, November 2024

UTOAJI WA TAARIFA YA MAFANIKIO YA MIAKA 4

Waziri wa Biashara na Maendeleo ya Viwanda Mhe. Omar Said Shaaban akielezea mafanikio ya Miaka Minne (4) ya Wizara kwa Uongozi wa Serikali ya Awamu ya Nane inayoongozwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapindizi Mhe. Dkt Hussein Ali Mwinyi kwa kipindi cha Miaka minne wakati akizungumza na waandisha wa Habari katika Shirika la Utangazaji (ZBC).




Back
Contact Us
Languages