Waziri wa Biashara na Maendeleo ya Viwanda Zanzibar Mhe.Omar Said Shabaan akizungmza na waandish wa Habari juu ya Bei elekezi ya vyakula ikwemo Mchele, Unga wa Ngano na Sukari kwa mwezi mtukufu wa Ramadhani hapo Afisini kwake Malindi Zanzibar. SERIKALI ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ) imetangaza bei elekezi kwa ajili ya bidhaa za vyakula vinavyotumiwa wakati wa mfungo wa Mwezi Mtuk
Read More